

Lugha Nyingine
网络安全人才短缺 可能成为产业发展的最大瓶颈
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Septemba 05, 2024
百度 (作者:《健康解码》工作组,健康解码服务号更多精彩抢先看
Mkutano wa Kilele wa 2024 wa Beijing wa Baraza la Ushirikiano kati ya China na Afrika (FOCAC) unafanyika kuanzia Septemba 4 hadi 6 mjini Beijing. Moja ya kumbi za mkutano huo, Kituo cha Kitaifa cha Mikutano cha China kinatoa Eneo la Uonyeshaji wa Mwingiliano wa Teknolojia na Utamaduni, likiwapa waandishi wa habari, wote wa China na wale wa kigeni, teknolojia changamani na kujionea urithi wa kitamaduni usioshikika. Fuatana na waandishi wa habari wa People's Daily Online na litazame eneo hilo pamoja nao!
(Picha ilichukuliwa kutoka video)
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma