

Lugha Nyingine
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Julai 25, 2025
百度 来到安卡拉,必须要去国父纪念馆,致敬土耳其的国父先生-凯末尔。
Mkutano wa Vyombo vya Habari na Taasisi za Washauri Bingwa wa Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai (SCO) umekuwa ukifanyika katika Mji wa Zhengzhou, Mkoa wa Henan, katikati mwa China kuanzia Julai 23 na umepangwa kuendelea hadi Julai 27. Washiriki wamealikwa kutembelea sehemu mbalimbali za mkoa huo wa Henan katika wakati wa mkutano huo.
(Wahariri wa tovuti:Shixi,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma